Swali: Vipi ikiwa mtawala ataona kutosimamisha adhabu ya Kishari´ah?
Jibu: Hapana, haijuzu. Si kwa mtawala wala mwingine. Manufaa yanapatikana kwa kusimamisha adhabu za Kishari´ah. Haijuzu kwa mfalme, mtawala wa jamhuri wala viongozi wengine kuacha kusimamisha adhabu za Kishari´ah wakiwa ni waislamu. Adhabu zinatakiwa kusimamisha ikiwa ni adhabu zilizowekwa na Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22387/هل-يجوز-للملك-او-الرىيس-ان-لا-يقيم-الحد
- Imechapishwa: 25/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)