Swali: Ni kipi kilichowekwa katika Shari´ah pindi linapofukiwa kaburi? Imewekwa katika Shari´ah kusema:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَى
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni kwa mara nyingine.” (20:55)
Jibu: Baadhi ya wanachuoni wanasema kuwa imesuniwa kurusha udongo mara tatu kwenye kaburi. Hata hivyo hakuna Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inayotegemewa ya kwamba mtu aseme:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَى
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni kwa mara nyingine.”
Kilichosuniwa baada ya mazishi ni kufuata yale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyoamrisha. Alipokuwa anamaliza kuzika alikuwa akisimama karibu na kaburi lake na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.”[1]
Muombeeni Allaah amthibitishe na amthibitishe kisha ondokeni.
[1] Abu Daawuud (3221).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/185)
- Imechapishwa: 24/08/2021
Swali: Ni kipi kilichowekwa katika Shari´ah pindi linapofukiwa kaburi? Imewekwa katika Shari´ah kusema:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَى
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni kwa mara nyingine.” (20:55)
Jibu: Baadhi ya wanachuoni wanasema kuwa imesuniwa kurusha udongo mara tatu kwenye kaburi. Hata hivyo hakuna Hadiyth Swahiyh kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) inayotegemewa ya kwamba mtu aseme:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَى
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni kwa mara nyingine.”
Kilichosuniwa baada ya mazishi ni kufuata yale Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyoamrisha. Alipokuwa anamaliza kuzika alikuwa akisimama karibu na kaburi lake na kusema:
“Muombeeni msamaha ndugu yenu na mumtakie uthabiti. Hakika hivi sasa ataulizwa.”[1]
Muombeeni Allaah amthibitishe na amthibitishe kisha ondokeni.
[1] Abu Daawuud (3221).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/185)
Imechapishwa: 24/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-kipi-kilichowekwa-katika-shariah-kufanya-wakati-wa-kumfukia-maiti-na-udongo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)