Swali: Inajuzu kuyachimbua makaburi ili kujenga njia ya watu wote ikiwa hakuna namna ya kukata barabara isipokuwa kupitia makaburi? Inajuzu kuyachimbua na kuyaweka sehemu nyingine ya makaburi?
Jibu: al-Lajnah ad-Daaimah nchini Saudi Arabia, au baadhi ya wanachuoni wake, wametoa fatwa ya kwamba inajuzu kuyachimbua makaburi wakati wa dharurah kwa ajili ya kujenga barabara ikiwa hakuna namna nyingine. Makaburi yachimbuliwe kwa sharti mifupa ichukuliwe na kuhamishwa sehemu nyingine kwenye makaburi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/203)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Inajuzu kuyachimbua makaburi ili kujenga njia ya watu wote ikiwa hakuna namna ya kukata barabara isipokuwa kupitia makaburi? Inajuzu kuyachimbua na kuyaweka sehemu nyingine ya makaburi?
Jibu: al-Lajnah ad-Daaimah nchini Saudi Arabia, au baadhi ya wanachuoni wake, wametoa fatwa ya kwamba inajuzu kuyachimbua makaburi wakati wa dharurah kwa ajili ya kujenga barabara ikiwa hakuna namna nyingine. Makaburi yachimbuliwe kwa sharti mifupa ichukuliwe na kuhamishwa sehemu nyingine kwenye makaburi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/203)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuyachimbua-makaburi-kwa-ajili-ya-kupitisha-barabara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)