Swali: Kuna msichana mmoja aliungua mahali kuliposhika moto mpaka akafa. Tulipokuwa tukimuosha na kumzika tukaona kuwa alikuwa na dhahabu mkononi mwake na mahereni. Inajuzu kulichimbua kaburi kwa ajili ya kuchukua ile dhahabu?
Jibu: Hakuhitajiki kuchimbua kaburi la msichana huyo kwa ajili ya kuchukua dhahabu aliokuwa nayo. Lakini wanaweza kufanya hivo ikiwa yamepitika katika kipindi cha karibu huko mbeleni baada ya mazishi. Dhahabu ni mali yao baada ya kufa kwa msichana huyo. Lakini iwe baada ya kurejea katika mamlaka husika ili mambo yasiwe ya vurugu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/203-204)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Kuna msichana mmoja aliungua mahali kuliposhika moto mpaka akafa. Tulipokuwa tukimuosha na kumzika tukaona kuwa alikuwa na dhahabu mkononi mwake na mahereni. Inajuzu kulichimbua kaburi kwa ajili ya kuchukua ile dhahabu?
Jibu: Hakuhitajiki kuchimbua kaburi la msichana huyo kwa ajili ya kuchukua dhahabu aliokuwa nayo. Lakini wanaweza kufanya hivo ikiwa yamepitika katika kipindi cha karibu huko mbeleni baada ya mazishi. Dhahabu ni mali yao baada ya kufa kwa msichana huyo. Lakini iwe baada ya kurejea katika mamlaka husika ili mambo yasiwe ya vurugu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/203-204)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kulifukua-kaburi-ili-kuchukua-dhahabu-ya-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)