Swali: Ni ipi hukumu ya kupita na viatu baina ya makaburi? Ni upi usahihi wa dalili inayokataza hilo:
“Ee uliye na viatu vya ngozi! Vua viatu vyako.”[1]?
Jibu: Wanachuoni wanasema kuwa kupita kati ya makaburi na viatu ni jambo limechukizwa. Wametumia dalili kwa Hadiyth hii. Lakini hata hivyo wanasema kuwa ikiwa kuna haja kama kwa mfano ardhi ina joto kali, miba na mfano wa hayo haina neno kuvaa viatu.
[1] Ahmad (5/83) na Abuu Daawuud (3230).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/200)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kupita na viatu baina ya makaburi? Ni upi usahihi wa dalili inayokataza hilo:
“Ee uliye na viatu vya ngozi! Vua viatu vyako.”[1]?
Jibu: Wanachuoni wanasema kuwa kupita kati ya makaburi na viatu ni jambo limechukizwa. Wametumia dalili kwa Hadiyth hii. Lakini hata hivyo wanasema kuwa ikiwa kuna haja kama kwa mfano ardhi ina joto kali, miba na mfano wa hayo haina neno kuvaa viatu.
[1] Ahmad (5/83) na Abuu Daawuud (3230).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/200)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kupita-na-viatu-kati-ya-makaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)