Swali: Ni ipi hukumu ya kutembea juu ya makaburi?
Jibu: Kutembea juu ya makaburi haijuzu kwa kuwa kuna kumtweza yule maiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyatia chokaa makaburi, kujenga na kuyaandika juu yake. Amesema kuhusu kukaa juu yake:
“Mmoja wenu kukaa juu ya kaa likaunguza nguo zake na likaingia mpaka kwenye ngozi yake ni bora kwake kuliko kukaa juu ya kaburi.”[1]
[1] Muslim (971).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/202)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kutembea juu ya makaburi?
Jibu: Kutembea juu ya makaburi haijuzu kwa kuwa kuna kumtweza yule maiti. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyatia chokaa makaburi, kujenga na kuyaandika juu yake. Amesema kuhusu kukaa juu yake:
“Mmoja wenu kukaa juu ya kaa likaunguza nguo zake na likaingia mpaka kwenye ngozi yake ni bora kwake kuliko kukaa juu ya kaburi.”[1]
[1] Muslim (971).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/202)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kutembea-juu-ya-makaburi/