Swali: Watu wengi wananyanyua sauti wakati wa mazishi. Je, kuna ubaya?
Jibu. Hakuna neno kukiwa kuna haja. Mfano wa haja hiyo ni kama mtu kunyanyua sauti pindi anapoomba kokoto, ubumba au mawe. Hakuna neno midhali kuna haja. Vinginevyo bora ni kukaa kimya. Mambo ni namna hiyo ikiwa kunyanyua sauti sio juu ya kitu cha ´ibaadah, kama kuomba maji, kokoto au kitu kingine. Ama ikiwa wamenyanyua kwa lengo la ´ibaadah kama kusoma Qur-aan, au Dhikr basi kitendo hicho ni Bid´ah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/172)
- Imechapishwa: 24/08/2021
Swali: Watu wengi wananyanyua sauti wakati wa mazishi. Je, kuna ubaya?
Jibu. Hakuna neno kukiwa kuna haja. Mfano wa haja hiyo ni kama mtu kunyanyua sauti pindi anapoomba kokoto, ubumba au mawe. Hakuna neno midhali kuna haja. Vinginevyo bora ni kukaa kimya. Mambo ni namna hiyo ikiwa kunyanyua sauti sio juu ya kitu cha ´ibaadah, kama kuomba maji, kokoto au kitu kingine. Ama ikiwa wamenyanyua kwa lengo la ´ibaadah kama kusoma Qur-aan, au Dhikr basi kitendo hicho ni Bid´ah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/172)
Imechapishwa: 24/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kunyanyua-sauti-mazishini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)