Swali: Ni ipi hukumu ya kufunika kaburi la mwanamke pindi anaposhushwa ndani ya kaburi?
Jibu: Baadhi ya wanachuoni wamesema kuwa kaburi la mwanamke linatakiwa kufunikwa pindi anaposhushwa ndani ya kaburi ili yasionekane maumbile yake. Lakini hata hivyo hili sio wajibu. Anatakiwa kufunikwa mpaka pale kokoto zitapotiwa juu yake.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/173)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket