Swali: Ni ipi hukumu ya kulinyanyua kaburi?
Jibu: Kulinyanyua kaburi ni kwenda kinyume na Sunnah. Ni wajibu kulisawazisha liwe sawa na makaburi mengine yaliyo pembezoni mwake au kuyashusha katika ule urefu wa kawaida. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nisikutume katika yale aliyonituma Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Usiache picha isipokuwa umeiharibu na wala kaburi lililonyanyuliwa isipokuwa umelisawazisha.”[1]
[1] Muslim (969).
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/185)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kulinyanyua kaburi?
Jibu: Kulinyanyua kaburi ni kwenda kinyume na Sunnah. Ni wajibu kulisawazisha liwe sawa na makaburi mengine yaliyo pembezoni mwake au kuyashusha katika ule urefu wa kawaida. ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:
“Nisikutume katika yale aliyonituma Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Usiache picha isipokuwa umeiharibu na wala kaburi lililonyanyuliwa isipokuwa umelisawazisha.”[1]
[1] Muslim (969).
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/185)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kulinyanyua-kaburi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)