Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyuzia maji kwenye kaburi kwa kuwa kunafanya udongo kuwa imara?
Jibu: Hakuna neno kunyunyizia maji. Maji yanaufanya udongo kuwa imara na kutoenda huku na kule. Ama yale yanayoitakidiwa na wasiokuwa wasomi wanaoyanyunyizia maji makaburi ili kuwafanya wale maiti wapate baridi, ni jambo lisilokuwa na asli.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/194)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kunyunyuzia maji kwenye kaburi kwa kuwa kunafanya udongo kuwa imara?
Jibu: Hakuna neno kunyunyizia maji. Maji yanaufanya udongo kuwa imara na kutoenda huku na kule. Ama yale yanayoitakidiwa na wasiokuwa wasomi wanaoyanyunyizia maji makaburi ili kuwafanya wale maiti wapate baridi, ni jambo lisilokuwa na asli.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/194)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuyanyunyizia-maji-makaburi-ili-udongo-uwe-imara/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)