Swali: Je, inafaa kwangu kuvaa nguo inayofika kwenye kongo mbili za miguu na si chini yake?
Jibu: Ndio. Kilichokatazwa ni kile kilichoko chini ya macho mawili ya miguu. Kinachofika katika kongo mbili za miguu na juu yake ni kivazi kinachokubalika katika Shari´ah na mtu afuate kile kivazi cha watu wa nchi yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 03/06/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)