Swali: Allaah (Subhaanah) amesema:
وَأُولَاتُ الْأَحْمَالِ أَجَلُهُنَّ أَن يَضَعْنَ حَمْلَهُنَّ
”Na wenye mimba muda wao [wa eda] watakapozaa mimba zao.”[1]
Je, hapa kuna dalili ya kumuozesha msichana mdogo?
Jibu: Ndio. Inafaa kwa baba kumuozesha msichana wake mdogo. Kama ambavo Abu Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anh) alimuozesha ´Aaishah kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiwa na miaka sita. Alimuoa (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akiwa na miaka sita na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akamjamii akiwa na miaka tisa. Inafaa kwa baba tu kumuozesha msichana ambaye hado hajafikisha umri wa kuyapambanua mambo.
[1] 65:04
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (39)
- Imechapishwa: 27/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)