Swali: Ikiwa mtenda wema ni mtu mwema anatakiwa kulipwa wema?
Jibu: Haijalishi kitu akiwa kafiri. Mwombee uongofu, ikiwa amekupa pesa mrudishie nawe pesa kama alivyokupa, ikiwa amekuongoza njia au amekuelekeza katika jambo linalokunufaisha mwombee kwa Allaah amjaze kheri na amwongoze.
Swali: Allaah amwongoze?
Jibu: Allaah amwongoze, nakuombea kwa Allaah akuongoze, Allaah akujaze kheri; kuna kheri na mema ya duniani na mema ya Aakhirah.
Swali: Kwa hivyo mtu alipize wema…
Jibu: Ikiwa ni wema wa pesa amlipe kwa pesa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikubali zawadi na akilipa kutokana na zawadi hiyo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23157/هل-يكافا-فاعل-المعروف-اذا-كان-كافرا
- Imechapishwa: 17/11/2023
Swali: Ikiwa mtenda wema ni mtu mwema anatakiwa kulipwa wema?
Jibu: Haijalishi kitu akiwa kafiri. Mwombee uongofu, ikiwa amekupa pesa mrudishie nawe pesa kama alivyokupa, ikiwa amekuongoza njia au amekuelekeza katika jambo linalokunufaisha mwombee kwa Allaah amjaze kheri na amwongoze.
Swali: Allaah amwongoze?
Jibu: Allaah amwongoze, nakuombea kwa Allaah akuongoze, Allaah akujaze kheri; kuna kheri na mema ya duniani na mema ya Aakhirah.
Swali: Kwa hivyo mtu alipize wema…
Jibu: Ikiwa ni wema wa pesa amlipe kwa pesa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akikubali zawadi na akilipa kutokana na zawadi hiyo.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23157/هل-يكافا-فاعل-المعروف-اذا-كان-كافرا
Imechapishwa: 17/11/2023
https://firqatunnajia.com/namna-ya-kumlipa-wema-kafiri-aliyekufanyia-wema/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)