Swali: Mtu akemee vipi maovu yanayofanywa na baba yake?
Jibu: Mnasihi. Mnasihi kwa urafiki, kwa hekima na ufanye upole kwa baba yako pengine Allaah akamwongoza.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
- Imechapishwa: 28/09/2023