Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:

”Yeyote ambaye Allaah anamtakia kheri, basi humjaalia akaifahamu dini.”

Je, kunakusudiwa uelewa katika tanzu au misingi na Tawhiyd?

Jibu: Hapana shaka kwamba ni yote mawili; uelewa katika misingi na tanzu. Dini imekusanya yote mawili.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (35)
  • Imechapishwa: 28/09/2023