Swali: Ni ipi hukumu ya msemo wa mtenda maasi pindi anapokemewa:
“Mimi niko huru kufania nikitakacho?”
Jibu: Hili ni kosa. Mtu huyu hayuko huru katika kumuasi Allaah. Tunamwambia kuwa endapo atamuasi Mola wake basi ametoka katika utumwa wa Allaah – ambao anadai – na badala yake ameenda katika utumwa wa shaytwaan na matamanio.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/81)
- Imechapishwa: 06/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya msemo wa mtenda maasi pindi anapokemewa:
“Mimi niko huru kufania nikitakacho?”
Jibu: Hili ni kosa. Mtu huyu hayuko huru katika kumuasi Allaah. Tunamwambia kuwa endapo atamuasi Mola wake basi ametoka katika utumwa wa Allaah – ambao anadai – na badala yake ameenda katika utumwa wa shaytwaan na matamanio.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/81)
Imechapishwa: 06/06/2017
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivyo-mtu-anaingia-katika-utumwa-wa-shaytwaan/