Swali: Ni ipi hukumu ya tamko “bwana” – السيد – kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kutumia neno ´bwana` kwa asiyekuwa Allaah ikiwa anakusudia ile maana yake ambayo ni bwana asiyefungamanishwa itakuwa haijuzu. Ikiwa anakusudia heshima tu ilihali yule mwenye kuitwa hivo anastahiki kuitwa hivo hakuna neno. Lakini hata hivyo asiseme “bwana”. Badala yake aseme “ee bwana” au mfano wa hivo. Hakuna neno vilevile ikiwa hakusudii heshima isipokuwa analitumia tu kama jina.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/109)
- Imechapishwa: 06/06/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya tamko “bwana” – السيد – kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kutumia neno ´bwana` kwa asiyekuwa Allaah ikiwa anakusudia ile maana yake ambayo ni bwana asiyefungamanishwa itakuwa haijuzu. Ikiwa anakusudia heshima tu ilihali yule mwenye kuitwa hivo anastahiki kuitwa hivo hakuna neno. Lakini hata hivyo asiseme “bwana”. Badala yake aseme “ee bwana” au mfano wa hivo. Hakuna neno vilevile ikiwa hakusudii heshima isipokuwa analitumia tu kama jina.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (03/109)
Imechapishwa: 06/06/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kutumia-neno-bwana-kwa-asiyekuwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)