Swali: Je, ilikuwa ni katika uongofu wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayi wa sallam) kurefusha katika du´aa? Baadhi ya maimamu wanarefusha katika du´aa kwa kutumia hoja:
“… kisha achague katika du´aa anayotaka.”
Jibu: Iwe kama alivosema ´Aaishah ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayi wa sallam) alikuwa anapenda du´aa zilizokusanya na anaomba kwa yasiyokuwa hayo. Aombe du´aa zilizokusanya katika Qunuut na swalah ya kuomba mvua bila ya kuwatia watu uzito.
Swali: Bora ni kuomba katika Sujuud?
Jibu: Aombe katika Sujuud. Miongoni mwa sababu za kuitikiwa ni kuomba kwenye Sujuud na mwishoni mwa swalah kabla ya kutoa salamu. Maeneo yote haya ni miongoni mwa nyakati za kuitikiwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23124/هل-من-هدي-النبي-ﷺ-التطويل-في-الدعاء
- Imechapishwa: 07/11/2023
Swali: Je, ilikuwa ni katika uongofu wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayi wa sallam) kurefusha katika du´aa? Baadhi ya maimamu wanarefusha katika du´aa kwa kutumia hoja:
“… kisha achague katika du´aa anayotaka.”
Jibu: Iwe kama alivosema ´Aaishah ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayi wa sallam) alikuwa anapenda du´aa zilizokusanya na anaomba kwa yasiyokuwa hayo. Aombe du´aa zilizokusanya katika Qunuut na swalah ya kuomba mvua bila ya kuwatia watu uzito.
Swali: Bora ni kuomba katika Sujuud?
Jibu: Aombe katika Sujuud. Miongoni mwa sababu za kuitikiwa ni kuomba kwenye Sujuud na mwishoni mwa swalah kabla ya kutoa salamu. Maeneo yote haya ni miongoni mwa nyakati za kuitikiwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23124/هل-من-هدي-النبي-ﷺ-التطويل-في-الدعاء
Imechapishwa: 07/11/2023
https://firqatunnajia.com/namna-hii-ndivo-zilikuwa-duaa-za-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)