Swali 72: Ni Suurah gani kamili kutoka katika Qur-aan iliyoteremshwa kamili?
Jibu: ´Abdullaah bin ´Amr amesema:
”Cha mwisho kilichoteremshwa kutoka katika Qur-aan ni Suurah ”al-Maaidah” na ”al-Fath”.”[1]
Bi maana:
إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّـهِ وَالْفَتْحُ
”Itakapokuja nusura ya Allaah na ushindi.”[2]
Hayohayo ndio yamesemwa na ´Aaishah kuhusu ”al-Maaidah”.[3]
Hayohayo yamesemwa na Ibn ´Abbaas kuhusu:
إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّـهِ وَالْفَتْحُ
”Itakapokuja nusura ya Allaah na ushindi.”[4] [5]
al-Baraa´ bin ´Aazib amesema:
”Suurah ya mwisho iliyoteremshwa ilikuwa ni ”al-Baraa-ah”.”[6]
[1] at-Tirmidhiy (3063). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3063).
[2] 110:1
[3] al-Haakim (2/311).
[4] 110:1
[5] at-Tirmidhiy (3063). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3063).
[6] al-Bukhaariy (4654) na Muslim (1618).
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 143
- Imechapishwa: 07/11/2023
Swali 72: Ni Suurah gani kamili kutoka katika Qur-aan iliyoteremshwa kamili?
Jibu: ´Abdullaah bin ´Amr amesema:
”Cha mwisho kilichoteremshwa kutoka katika Qur-aan ni Suurah ”al-Maaidah” na ”al-Fath”.”[1]
Bi maana:
إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّـهِ وَالْفَتْحُ
”Itakapokuja nusura ya Allaah na ushindi.”[2]
Hayohayo ndio yamesemwa na ´Aaishah kuhusu ”al-Maaidah”.[3]
Hayohayo yamesemwa na Ibn ´Abbaas kuhusu:
إِذَا جَاءَ نَصْرُ اللَّـهِ وَالْفَتْحُ
”Itakapokuja nusura ya Allaah na ushindi.”[4] [5]
al-Baraa´ bin ´Aazib amesema:
”Suurah ya mwisho iliyoteremshwa ilikuwa ni ”al-Baraa-ah”.”[6]
[1] at-Tirmidhiy (3063). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3063).
[2] 110:1
[3] al-Haakim (2/311).
[4] 110:1
[5] at-Tirmidhiy (3063). Nzuri kwa mujibu wa al-Albaaniy katika ”Swahiyh Sunan at-Tirmidhiy” (3063).
[6] al-Bukhaariy (4654) na Muslim (1618).
Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 143
Imechapishwa: 07/11/2023
https://firqatunnajia.com/72-ni-suurah-gani-kamili-kutoka-katika-qur-aan-iliyoteremshwa-kamili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)