Swali: Je, mtu aende katika vikao vya Ahl-ul-Ahwaa´ na kuhudhuria mihadhara yao na kuwatolea Salaam?
Jibu: Huyu mara nyingi akienda hugeuka akawa Hizbiy. Ima anakuwa ni katika Tabliygh, pote katika Suufiyyah au Raafidhwiyyah, Jahmiyyah au Mu´tazilah. Ni lazima iwe hivi kwa kuwa aina ya watu hawa hupewa adhabu na Allaah. Kwa kuwa wameenda kinyume na uongofu wa Muhammad (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na maelekezo yake. Kadhalika wameenda kinyume na uongofu wa Salaf. Watu hawa mara nyingi hupotea na huwa pamoja na makundi ya shari.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=26890
- Imechapishwa: 20/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)