Walinganizi wa Bid´ah na wa upotevu ni makhalifa wa Shaytwaan. Wanachuoni ni warithi na makhalifah wa Mitume – Allaah akitaka. Walinganizi wa Bid´ah, batili, kufuru na upotevu ni makhalifa na wanajeshi wa Iblisi. Tahadharini mmoja katika yenu kuwa katika wanajeshi wa Shaytwaan na katika makhalifa wake.

  • Mhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: adh-Dhariy´ah ilaa Bayaan Maqaasid Kitaab-ish-Sharï´ah (1/463)
  • Imechapishwa: 20/05/2015