Swali: Maziwa na venginevyo katika vitu vya majimaji vina hukumu moja kama maji vinapoingiwa na najisi?
Jibu: Maziwa na venginevyo katika vitu vya majimaji pindi najisi inapoingia ndani yake basi vina hukumu moja kama ya maji. Hiyo ina maana kwamba vinanajisika ikiwa ile rangi yake, ladha yake na harufu yake itabadilika kwa najisi hiyo. Vivyo hivyo ikiwa kiwango chake ni kidogo vinanajisika wakati najisi inapoingia ndani yake. Ikiwa havitobadilika harufu, ladha na rangi yake basi itakuwa ni haramu kuvinywa na kuvitumia.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (22/128) nr. (20049)
- Imechapishwa: 01/06/2022
Swali: Maziwa na venginevyo katika vitu vya majimaji vina hukumu moja kama maji vinapoingiwa na najisi?
Jibu: Maziwa na venginevyo katika vitu vya majimaji pindi najisi inapoingia ndani yake basi vina hukumu moja kama ya maji. Hiyo ina maana kwamba vinanajisika ikiwa ile rangi yake, ladha yake na harufu yake itabadilika kwa najisi hiyo. Vivyo hivyo ikiwa kiwango chake ni kidogo vinanajisika wakati najisi inapoingia ndani yake. Ikiwa havitobadilika harufu, ladha na rangi yake basi itakuwa ni haramu kuvinywa na kuvitumia.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
´Abdul-´Aziyz Aalish-Shaykh
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (22/128) nr. (20049)
Imechapishwa: 01/06/2022
https://firqatunnajia.com/najisi-inapoingia-ndani-ya-maziwa-na-vitu-vya-majimaji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)