Swali 654: Je, nadhiri ya huduma ni maalum kwa nyumati zilizotangulia?
إِذْ قَالَتِ امْرَأَتُ عِمْرَانَ رَبِّ إِنِّي نَذَرْتُ لَكَ مَا فِي بَطْنِي مُحَرَّرًا فَتَقَبَّلْ مِنِّي ۖ إِنَّكَ أَنتَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
”Wakati aliposema mke wa ´Imraan: ”Mola wangu, hakika mimi nimeweka nadhiri Kwako kile kilichomo ndani ya tumbo langu kuwa ni waqf kukutumikia, hivyo basi Nitakabalie. Hakika Wewe ni Msikivu wa yote, Mjuzi wa yote.”[1]
Jibu: Hapana. Iwapo mwanamume atamnunua mtumwa wa kuhudumu msikitini, hilo ni jambo linalokubalika kwa mujibu wa Shari´ah.
[1] 03:35
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
- Imechapishwa: 20/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 654: Je, nadhiri ya huduma ni maalum kwa nyumati zilizotangulia?
إِذْ قَالَتِ امْرَأَتُ عِمْرَانَ رَبِّ إِنِّي نَذَرْتُ لَكَ مَا فِي بَطْنِي مُحَرَّرًا فَتَقَبَّلْ مِنِّي ۖ إِنَّكَ أَنتَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
”Wakati aliposema mke wa ´Imraan: ”Mola wangu, hakika mimi nimeweka nadhiri Kwako kile kilichomo ndani ya tumbo langu kuwa ni waqf kukutumikia, hivyo basi Nitakabalie. Hakika Wewe ni Msikivu wa yote, Mjuzi wa yote.”[1]
Jibu: Hapana. Iwapo mwanamume atamnunua mtumwa wa kuhudumu msikitini, hilo ni jambo linalokubalika kwa mujibu wa Shari´ah.
[1] 03:35
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 234
Imechapishwa: 20/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/nadhiri-ya-muhudumu-wa-msikiti/