Swali: Mwombaji akiniomba pesa ni wajibu kwangu kumpa?
Jibu: Ndio, akikuomba ni wajibu kwako kumpa. Mpe kila unachoweza hata kama kitakuwa ni kidogo. Ikiwa huna angalau mwambie maneno mazuri na kumuombea du´aa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-28.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Mwombaji akiniomba pesa ni wajibu kwangu kumpa?
Jibu: Ndio, akikuomba ni wajibu kwako kumpa. Mpe kila unachoweza hata kama kitakuwa ni kidogo. Ikiwa huna angalau mwambie maneno mazuri na kumuombea du´aa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-28.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwombaji-akikuomba-mpe/