Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kutoka kwa sura ya mara kwa mara ili kuhudhuria kituo cha kuhifadhi Qur-aan na kuwatembelea ndugu ili kuunga kizazi. Je, kitendo hichi kinajuzu Kishari´ah?
Jibu: Ikiwa ana mke ni lazima apewe kwanza idhini na mume wake. Ni lazima apate idhini kwanza kutoka kwa mume wake. Ama ikiwa hana mume anaweza kutoka kwa sharti ashikamane na adabu za Kishari´ah. Ajisitiri, asijitie manukato, vicheko na wanaume na mfano wa hayo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kutoka kwa sura ya mara kwa mara ili kuhudhuria kituo cha kuhifadhi Qur-aan na kuwatembelea ndugu ili kuunga kizazi. Je, kitendo hichi kinajuzu Kishari´ah?
Jibu: Ikiwa ana mke ni lazima apewe kwanza idhini na mume wake. Ni lazima apate idhini kwanza kutoka kwa mume wake. Ama ikiwa hana mume anaweza kutoka kwa sharti ashikamane na adabu za Kishari´ah. Ajisitiri, asijitie manukato, vicheko na wanaume na mfano wa hayo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/mwolewaji-hatoki-ila-kwa-ruhusa-ya-mume-wake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)