Swali: Je, kabla ya swalah ya Ijumaa kuna Sunnah ya Rawaatib Rak´ah nne?
Jibu: Ijumaa haina Raatibah kabla yake. Anachotakiwa ni mtu kuswali idadi atakavyoweza. Raatibah iko baada yake. Uchache wake ni Rak´ah mbili na wingi wake ni Rak´ah nne, au Rak´ah sita kutokana na baadhi ya mapokezi. Kuna salamu kila baada ya Rak´ah mbili.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
- Imechapishwa: 21/04/2015
Swali: Je, kabla ya swalah ya Ijumaa kuna Sunnah ya Rawaatib Rak´ah nne?
Jibu: Ijumaa haina Raatibah kabla yake. Anachotakiwa ni mtu kuswali idadi atakavyoweza. Raatibah iko baada yake. Uchache wake ni Rak´ah mbili na wingi wake ni Rak´ah nne, au Rak´ah sita kutokana na baadhi ya mapokezi. Kuna salamu kila baada ya Rak´ah mbili.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Buluugh al-Maraam (35) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/blug–1431-08-08.MP3
Imechapishwa: 21/04/2015
https://firqatunnajia.com/ijumaa-haina-raatibah-kabla-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)