Swali: Je, wanalazimika wanawake walio na damu ya uzazi kutotoka nyumbani kabla ya kumalizika kwa muda?
Jibu: Mwanamke mwenye damu ya uzazi ni kama wanawake wengineo. Hapana vibaya kwake kutoka nje ya nyumbani kwake kukiwa kuna haja. Asipokuwa na haja basi bora kwa wanawake wote ni kutulizana nyumbani. Allaah (Subhaanah) amesema:
وَقَرْنَ فِي بُيُوتِكُنَّ وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَى
“Tulizaneni majumbani mwenu na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa zama za ujahili.”[1]
[1] 33:33
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/226)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Je, wanalazimika wanawake walio na damu ya uzazi kutotoka nyumbani kabla ya kumalizika kwa muda?
Jibu: Mwanamke mwenye damu ya uzazi ni kama wanawake wengineo. Hapana vibaya kwake kutoka nje ya nyumbani kwake kukiwa kuna haja. Asipokuwa na haja basi bora kwa wanawake wote ni kutulizana nyumbani. Allaah (Subhaanah) amesema:
وَقَرْنَ فِي بُيُوتِكُنَّ وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَى
“Tulizaneni majumbani mwenu na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa zama za ujahili.”[1]
[1] 33:33
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/226)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/mwenye-nifasi-kutoka-nje-ya-nyumba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)