Swali: Tumesoma kuwa ukimuona mtu anawapenda wanachuoni wa Ahl-ul-Hadiyth was-Sunnah basi ni mtu wa Sunnah. Je, hilo linatumika kwa wanachuoni wetu wanaofuata yale waliyokuwemo watangu wetu wema na kwamba mwenye kuwapenda ni mtu wa Sunnah na mwenye kuwasema vibaya ni mtu wa Bid´ah?
Jibu: Mwenye kuwapenda Ahl-us-Sunnah wakati wowote ule, hii ni alama ya kheri. Na mwenye kuwachukia, hii ni alama ya shari. Hili hutumika wakati wowote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (18) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-13.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Tumesoma kuwa ukimuona mtu anawapenda wanachuoni wa Ahl-ul-Hadiyth was-Sunnah basi ni mtu wa Sunnah. Je, hilo linatumika kwa wanachuoni wetu wanaofuata yale waliyokuwemo watangu wetu wema na kwamba mwenye kuwapenda ni mtu wa Sunnah na mwenye kuwasema vibaya ni mtu wa Bid´ah?
Jibu: Mwenye kuwapenda Ahl-us-Sunnah wakati wowote ule, hii ni alama ya kheri. Na mwenye kuwachukia, hii ni alama ya shari. Hili hutumika wakati wowote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (18) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-13.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwenye-kuwapenda-na-kuwachukia-wanachuoni-wetu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)