Swali: Nilikuwa pamoja na Takfiyriyyuun na nina baadhi ya vijitabu ambavyo nilivichapisha kwa mali yao. Nivichanye au nivifanye nini?
Jibu: Himdi zote ni Zake Allaah ambaye amekutunukia tawbah na kurudi katika haki. Tunamuomba Allaah awaongoze na hao wengine, awarudishe katika usawa na awaongoze katika haki.
Vijitabu hivo vichane. Vilevile ni juu yako kuwalingania waweze kutubia na kurudi katika haki na kuwabainishia makosa huenda Allaah akamwongoza yule amtakaye katika wao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-20.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Nilikuwa pamoja na Takfiyriyyuun na nina baadhi ya vijitabu ambavyo nilivichapisha kwa mali yao. Nivichanye au nivifanye nini?
Jibu: Himdi zote ni Zake Allaah ambaye amekutunukia tawbah na kurudi katika haki. Tunamuomba Allaah awaongoze na hao wengine, awarudishe katika usawa na awaongoze katika haki.
Vijitabu hivo vichane. Vilevile ni juu yako kuwalingania waweze kutubia na kurudi katika haki na kuwabainishia makosa huenda Allaah akamwongoza yule amtakaye katika wao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (19) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1427-11-20.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/takfiyriy-ametubu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)