Swali: Mwenye kusahau Witr.
Jibu: Aiswali katika wakati wa Dhuhaa´ kabla ya Dhuhr. Aswali kile kitachomuwepesikia kabla ya Dhuhr. Mtume (Swallla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anapokosa nyuradi yake ya usiku basi anailipa mchana. Hivo ndivo alivosema ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa). Aiswali kwa njia ya shufwa na si witiri. Bi maana aiswali Rak´ah mbili mbili… Lililo karibu zaidi na usawa – na Allaah ndiye mjuzi zaidi – ni kwamba [iwe wakati wa] Dhuhaa´ au Dhuhr. Kuhusu ´Aswr hapana. Amesema katika Hadiyth nyingine:
“Mwenye kukosa sehemu yake ya usiku ambapo akailipa mchana kabla ya Dhuhr ni kana kwamba ameilipa usiku.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22375/كيف-ومتى-يقضي-الوتر-من-نسيه
- Imechapishwa: 11/03/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)