Swali: Je, inafaa kwa ambaye anafanya I´tikaaf kufaidika na umeme wa msikiti Mtakatifu katika kuchaji betri ya simu?
Jibu: Vitu vidogo havina neno. Kuchaji simu ni jambo dogo lisilodhuru umeme na halichukui moto mkubwa. Hili ni jambo linalosamehewa khaswa kwa anayekaa I´tikaaf ambaye hawezi kutoka. Hapana vibaya akachaji simu kwa umeme wa msikiti. Kwa sababu ni jambo lisilodhuru umeme.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=KN0Q4G7uwy8&t=33s
- Imechapishwa: 18/01/2024
Swali: Je, inafaa kwa ambaye anafanya I´tikaaf kufaidika na umeme wa msikiti Mtakatifu katika kuchaji betri ya simu?
Jibu: Vitu vidogo havina neno. Kuchaji simu ni jambo dogo lisilodhuru umeme na halichukui moto mkubwa. Hili ni jambo linalosamehewa khaswa kwa anayekaa I´tikaaf ambaye hawezi kutoka. Hapana vibaya akachaji simu kwa umeme wa msikiti. Kwa sababu ni jambo lisilodhuru umeme.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.youtube.com/watch?v=KN0Q4G7uwy8&t=33s
Imechapishwa: 18/01/2024
https://firqatunnajia.com/mwenye-kukaa-itikaaf-kuchaji-simu-kwa-umeme-wa-msikiti/