Swali: Mtu mwenye kufanya hajj ya Tamattu´ asiyekuwa na kichinjwa na wala hakufunga siku kumi mpaka ukamalizika mwezi wa Dhul-Hijjah. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kuzifunga na wala haziishilii Dhul-Hijjah. Kama hakujaaliwa kufunga siku tatu katika hajj, basi anatakiwa kuzifunga pamoja na siku saba pindi itapomkuia wepesi kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 11/05/2021
Swali: Mtu mwenye kufanya hajj ya Tamattu´ asiyekuwa na kichinjwa na wala hakufunga siku kumi mpaka ukamalizika mwezi wa Dhul-Hijjah. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kuzifunga na wala haziishilii Dhul-Hijjah. Kama hakujaaliwa kufunga siku tatu katika hajj, basi anatakiwa kuzifunga pamoja na siku saba pindi itapomkuia wepesi kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 11/05/2021
https://firqatunnajia.com/mwenye-kuhiji-hakujaaliwa-kufunga-siku-kumi-katika-dhul-hijjah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)