Swali: Baada ya imamu kumaliza kutoa adhaana au kukimu baadhi ya watu husema:
حقًّا لا إله إلا الله
“Ni kweli hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah.”
Je, kusema hivo ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Akilazimiana na kitu hicho siku zote ni kitu ambacho hakikuwekwa katika Shari´ah. Lakini akisema baadhi ya nyakati basi hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
- Imechapishwa: 11/05/2021
Swali: Baada ya imamu kumaliza kutoa adhaana au kukimu baadhi ya watu husema:
حقًّا لا إله إلا الله
“Ni kweli hapana mwabudiwa wa haki isipokuwa Allaah.”
Je, kusema hivo ni jambo limewekwa katika Shari´ah?
Jibu: Akilazimiana na kitu hicho siku zote ni kitu ambacho hakikuwekwa katika Shari´ah. Lakini akisema baadhi ya nyakati basi hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (16)
Imechapishwa: 11/05/2021
https://firqatunnajia.com/akisema-hivo-daima-ni-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)