Swali: Mtu ambaye ameota na kumwaga hasogelewi na Malaika?
Jibu: Wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipojiliwa na Abu Hurayrah na Hudhayfah na wakajaribu kumkwepa, akasema:
“Hakika muislamu hanajisiki.”
Janaba ni maana katika maana na sio najisi. Ni maana katika maana inayowajibisha josho. Vivyo hivyo hedhi inawajibisha josho. Lakini mwanamke anabaki kuwa ni msafi kukiwemo jasho lake, mate yake, kile anachokigusa ni kisafi na nywele zake ni safi. Kadhalika mwenye janaba ni msafi kukiwemo jasho lake na mwili wake ni msafi. Hata hivyo ni lazima kuoga kama alivyoamrishwa na Allaah.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22814/ما-صحة-ان-المحتلم-لا-تقربه-الملاىكة
- Imechapishwa: 26/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)