Swali: Je, ni udhuru sahihi wa kutoitikia mwaliko wa karamu ya ndoa katika mji mkubwa, kama vile ar-Riyaadh, kwa sababu wakati mwingine inaweza kuchukua saa nzima kwenda na saa nyingine kwa ajili ya kurudi kutokana na msongamano wa magari?
Jibu: Ikiwa kuna uzito ni udhuru sahihi. Ikiwa kuna ugumu au khatari njiani, yanazingatiwa kuwa ni udhuru sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 05/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)