Swali: Ili iwe ni wajibu kuitikia mwaliko wa karamu ya ndoa, baadhi ya wanazuoni wameshurutisha mwalikaji awe muislamu. Je, sharti hii ni yenye kuzingatiwa?
Jibu: Ndio. Akiwa ni kafiri hana haki yoyote juu yako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 05/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)