Ili iwe ni lazima kutikia mwaliko wa walima

Swali: Ili iwe ni wajibu kuitikia mwaliko wa karamu ya ndoa, baadhi ya wanazuoni wameshurutisha mwalikaji awe muislamu. Je, sharti hii ni yenye kuzingatiwa?

Jibu: Ndio. Akiwa ni kafiri hana haki yoyote juu yako.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
  • Imechapishwa: 05/10/2023