Swali: Pindi Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofanya mweleka na Rukaanah alimuwekea (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rukaanah kuingia katika Uislamu endapo atamshinda. Je, si inazingatiwa…
Jibu: Ni aina fulani ya ulinganizi. Malengo haikuwa kutaka pesa na zawadi. Huku ni kulingania kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 12/03/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)