Swali: Pindi Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofanya mweleka na Rukaanah alimuwekea (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rukaanah kuingia katika Uislamu endapo atamshinda. Je, si inazingatiwa…
Jibu: Ni aina fulani ya ulinganizi. Malengo haikuwa kutaka pesa na zawadi. Huku ni kulingania kwa Allaah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 12/03/2022
Swali: Pindi Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipofanya mweleka na Rukaanah alimuwekea (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) Rukaanah kuingia katika Uislamu endapo atamshinda. Je, si inazingatiwa…
Jibu: Ni aina fulani ya ulinganizi. Malengo haikuwa kutaka pesa na zawadi. Huku ni kulingania kwa Allaah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 12/03/2022
https://firqatunnajia.com/mweleka-wa-mtume-ilikuwa-ni-kulingania/