Swali: Nilioa na sikufanya karamu ya ndoa. Je, napata dhambi?
Jibu: Hapana. Umeacha jambo lililopendekezwa. Karamu ya ndoa imependekezwa. Ambaye hakufanya karamu ya ndoa ameacha jambo lililopendekezwa. Kwa hiyo hapati dhambi. Lakini akifanya karamu ya ndoa analipwa thawabu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Allaah akubariki. Fanya karamu ya ndoa ijapo kikondoo.”[1]
Huku ni kuitangaza ndoa.
[1] al-Bukhaariy (4/232), an-Nasaa’iy (2/93), Ibn Sa´d (3/2/77), al-Bayhaqiy (7/258), Ahmad (3/165) na Abul-Hasan at-Twuusiy katika ”al-Mukhtaswar” (1/110/1).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
- Imechapishwa: 12/03/2022
Swali: Nilioa na sikufanya karamu ya ndoa. Je, napata dhambi?
Jibu: Hapana. Umeacha jambo lililopendekezwa. Karamu ya ndoa imependekezwa. Ambaye hakufanya karamu ya ndoa ameacha jambo lililopendekezwa. Kwa hiyo hapati dhambi. Lakini akifanya karamu ya ndoa analipwa thawabu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Allaah akubariki. Fanya karamu ya ndoa ijapo kikondoo.”[1]
Huku ni kuitangaza ndoa.
[1] al-Bukhaariy (4/232), an-Nasaa’iy (2/93), Ibn Sa´d (3/2/77), al-Bayhaqiy (7/258), Ahmad (3/165) na Abul-Hasan at-Twuusiy katika ”al-Mukhtaswar” (1/110/1).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (31)
Imechapishwa: 12/03/2022
https://firqatunnajia.com/ameoa-bila-karamu-ya-ndoa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)