Swali: Je, mwanamke anakuwa mwenye kulaaniwa anapoweka ´Abaa´ah juu ya mabega yake hali ya kujifananisha na wanaume?
Jibu: Kunakhofiwa juu yake, kwa sababu hii ni katika sifa za wanaume. Kuweka ´Abaa´ah juu ya mabega yake ni katika mavazi staili za wanaume. Kwa hivyo haijuzu kwa mwanamke kujifananisha nao.
Swali: Je, kwa mfano mwanamke akivaa kepsi na akatembea kama wanaume anakuwa ni mwenye kulaaniwa?
Jibu: Ikiwa ni katika mavazi ya wanaume kanuni inayosema: ni mwenye kulaaniwa ikiwa ni katika mavazi ambayo ni maalum kwa wanaume.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23429/هل-تشبه-المراة-بالرجل-في-زيها-يوجب-اللعن
- Imechapishwa: 19/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)