Swali: Kwa hivyo inafaa kumlaani mtu kwa dhati yake inapokuwa nyingi shari yake?
Jibu: Inafaa kumlaani inapokuwa nyingi shari yake. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyowalaani kikosi cha Quraysh kwa sababu ya shari yao. Hata hivyo kilichotangaa kutokana na kitendo na Sunnah zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kulaani kwa njia ya ujumla: Allaah amlaani mwizi, Allaah amlaani mzinzi, Allaah amlaani mla ribaa na Allaah amlaani mnywa pombe. Inatakiwa kuwa namna hii mtu alaani kwa njia ya sifa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23428/هل-يجوز-لعن-شخص-معين-لكثرة-شره
- Imechapishwa: 19/01/2024
Swali: Kwa hivyo inafaa kumlaani mtu kwa dhati yake inapokuwa nyingi shari yake?
Jibu: Inafaa kumlaani inapokuwa nyingi shari yake. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alivyowalaani kikosi cha Quraysh kwa sababu ya shari yao. Hata hivyo kilichotangaa kutokana na kitendo na Sunnah zake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni kulaani kwa njia ya ujumla: Allaah amlaani mwizi, Allaah amlaani mzinzi, Allaah amlaani mla ribaa na Allaah amlaani mnywa pombe. Inatakiwa kuwa namna hii mtu alaani kwa njia ya sifa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23428/هل-يجوز-لعن-شخص-معين-لكثرة-شره
Imechapishwa: 19/01/2024
https://firqatunnajia.com/kumlaani-ambaye-zimekithiri-shari-zake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)