Swali: Je, sifa ya kusikia na kuona kwa Allaah imefungamana na matakwa?
Jibu: Hapana, ni sifa za dhati. Usikizi na uoni ni katika sifa za dhati. Vilevile mkono na mguu zote hizi ni katika sifa za dhati. Aidha uso ni katika sifa za dhati. Sifa zinazofungamana na matakwa ni kama vile ghadhabu, kuridhia na uumbaji. Zote hizi ni sifa zilizofungamana na matakwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23427/هل-تتعلق-صفتا-السمع-والبصر-لله-بالمشيىة
- Imechapishwa: 19/01/2024
Swali: Je, sifa ya kusikia na kuona kwa Allaah imefungamana na matakwa?
Jibu: Hapana, ni sifa za dhati. Usikizi na uoni ni katika sifa za dhati. Vilevile mkono na mguu zote hizi ni katika sifa za dhati. Aidha uso ni katika sifa za dhati. Sifa zinazofungamana na matakwa ni kama vile ghadhabu, kuridhia na uumbaji. Zote hizi ni sifa zilizofungamana na matakwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23427/هل-تتعلق-صفتا-السمع-والبصر-لله-بالمشيىة
Imechapishwa: 19/01/2024
https://firqatunnajia.com/usikizi-na-uoni-ni-sifa-za-matakwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)