Swali: Mwanamke akiswali na nguo ambayo ni kanzu ya kulala nayo Swalah yake ni batili?
Jibu: Ikiwa inasitiri, hata kama itakuwa ni kanzu ya kulalia, Swalah yake ni sahihi. Mwili wa mwanamke wote ni ´Awrah. Ikiwa inasitiri mwili na kusionekane isipokuwa uso, Swalah yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12822
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Mwanamke akiswali na nguo ambayo ni kanzu ya kulala nayo Swalah yake ni batili?
Jibu: Ikiwa inasitiri, hata kama itakuwa ni kanzu ya kulalia, Swalah yake ni sahihi. Mwili wa mwanamke wote ni ´Awrah. Ikiwa inasitiri mwili na kusionekane isipokuwa uso, Swalah yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12822
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuswali-na-nguo-ya-kulalia/