Swali: Mwanamke akiswali na nguo ambayo ni kanzu ya kulala nayo Swalah yake ni batili?
Jibu: Ikiwa inasitiri, hata kama itakuwa ni kanzu ya kulalia, Swalah yake ni sahihi. Mwili wa mwanamke wote ni ´Awrah. Ikiwa inasitiri mwili na kusionekane isipokuwa uso, Swalah yake ni sahihi.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12822
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Mwanamke akiswali na nguo ambayo ni kanzu ya kulala nayo Swalah yake ni batili?
Jibu: Ikiwa inasitiri, hata kama itakuwa ni kanzu ya kulalia, Swalah yake ni sahihi. Mwili wa mwanamke wote ni ´Awrah. Ikiwa inasitiri mwili na kusionekane isipokuwa uso, Swalah yake ni sahihi.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=12822
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kuswali-na-nguo-ya-kulalia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)