Swali: Je, mwanamke kupanda gari peke yake na mwanaume wa kando ndani ya mji kunazingatiwa ni kukaa faragha?
Jibu: Naona kuwa huku ni kukaa faragha. Mwanamke kupanda gari na dereva ambaye sio Mahram wake ni faragha ilioharamishwa. Ni kitendo kinachoingia ndani ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanaume asikae faragha na mwanamke isipokuwa awe na Mahram.”
“Hakuna mwanaume atakaa faragha na mwanamke isipokuwa watatu wao atakuwa ni shaytwaan.”
Kukaa faragha huku ni khatari zaidi kuliko kukaa faragha kwenye chumba. Hilo ni kwa sababu dereva hucheza na akili ya mwanamke huyu, atampambania maovu, atamlegezea maneno na anaweza kumpeleka anakotaka. Khatari ya huyu ni kubwa zaidi. Kwa hivyo si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kupanda na dereva ambaye si Mahram wake hata kama ni ndani ya mji.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1729
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Je, mwanamke kupanda gari peke yake na mwanaume wa kando ndani ya mji kunazingatiwa ni kukaa faragha?
Jibu: Naona kuwa huku ni kukaa faragha. Mwanamke kupanda gari na dereva ambaye sio Mahram wake ni faragha ilioharamishwa. Ni kitendo kinachoingia ndani ya maneno ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Mwanaume asikae faragha na mwanamke isipokuwa awe na Mahram.”
“Hakuna mwanaume atakaa faragha na mwanamke isipokuwa watatu wao atakuwa ni shaytwaan.”
Kukaa faragha huku ni khatari zaidi kuliko kukaa faragha kwenye chumba. Hilo ni kwa sababu dereva hucheza na akili ya mwanamke huyu, atampambania maovu, atamlegezea maneno na anaweza kumpeleka anakotaka. Khatari ya huyu ni kubwa zaidi. Kwa hivyo si halali kwa mwanamke anayemwamini Allaah na siku ya Mwisho kupanda na dereva ambaye si Mahram wake hata kama ni ndani ya mji.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (74) http://binothaimeen.net/content/1729
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-kupanda-kwenye-gari-na-dereva-wa-kiume-khatari-zaidi-kuliko-kukaa-chemba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)