Swali: Wakati mwingine mwanamke anaweza kuhisi alama za kupata ada yake ya mwezi. Je, akihisi alama hizi za kupata hedhi aswali au asimamishe kuswali?
Jibu: Hukumu imefungamana na damu. Akitokwa na damu ndio asimamishe kuswali. Lakini midhali hajatokwa na damu yeye ni msafi. Hivyo aswali.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 22/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)