Swali: Mwanamke amepata hedhi wakati wa swalah – yaani baada ya kuingia wakati wa swalah. Je, ni lazima kulipa swalah hiyo baada ya kutwaharika?
Jibu: Hapana. Kama ni mwanzoni mwa wakati jibu ni hapana. Hata hivyo ikiwa atatwaharika mwishoni mwa wakati wa swalah ya pili, kwa mfano akatwaharika mwishoni mwa wakati wa ´Ishaa karibu na kuingia al-Fajr, katika hali hii anatakiwa kuswali Maghrib na ´Ishaa. Au kwa mfano anatwaharika mwishoni mwa wakati wa ´Aswr karibu na jua kuzama, katika hali hii anatakiwa kuswali Dhuhr na ´Aswr.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mwanamke amepata hedhi wakati wa swalah – yaani baada ya kuingia wakati wa swalah. Je, ni lazima kulipa swalah hiyo baada ya kutwaharika?
Jibu: Hapana. Kama ni mwanzoni mwa wakati jibu ni hapana. Hata hivyo ikiwa atatwaharika mwishoni mwa wakati wa swalah ya pili, kwa mfano akatwaharika mwishoni mwa wakati wa ´Ishaa karibu na kuingia al-Fajr, katika hali hii anatakiwa kuswali Maghrib na ´Ishaa. Au kwa mfano anatwaharika mwishoni mwa wakati wa ´Aswr karibu na jua kuzama, katika hali hii anatakiwa kuswali Dhuhr na ´Aswr.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/mwanamke-amepata-hedhi-wakati-wa-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)