Swali: Kuna ambao wanakurekodi mawaidha kwa camera ya simu wakati ambapo unatoa darsa. Je, unawapa idhini ya kuzihifadhi?
Jibu: Lau nitampa idhini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hatompa idhini. Isitoshe haijuzu kuchukua picha Msikitini. Misikitini hakuchukuliwi picha. Haijuzu hata kuchukua picha nje ya misikiti. Tusemeje kwenye misikiti? Ni juu ya mtu huyo kumcha Allaah (´Azza wa Jall) na ajiepushe na picha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Kuna ambao wanakurekodi mawaidha kwa camera ya simu wakati ambapo unatoa darsa. Je, unawapa idhini ya kuzihifadhi?
Jibu: Lau nitampa idhini Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) hatompa idhini. Isitoshe haijuzu kuchukua picha Msikitini. Misikitini hakuchukuliwi picha. Haijuzu hata kuchukua picha nje ya misikiti. Tusemeje kwenye misikiti? Ni juu ya mtu huyo kumcha Allaah (´Azza wa Jall) na ajiepushe na picha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/lau-nitawapa-idhini-mimi-mtume-hatowapa-%e2%80%82/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)