Swali: Mmoja katika watu wanaowasomea watu anasema kuwa huomba msaada kutoka kwa majini waislamu kwa madai ya kwamba ana fatwa kuhusu hilo. Je, hili linajuzu?
Jibu: Kuhusiana na kwamba ana fatwa juu ya hilo mimi sijui mwanachuoni yeyote miongoni mwa wanachuoni vigogo – wenye kujifanya ni wanachuoni ni wengi – ama wanachuoni vigogo hawajuzishi hilo. Haijuzu kutaka msaada kutoka kwa majini. Ni kipi kimechokujulisha kuwa ni waislamu? Hata kama tutachukulia kuwa ni waislamu, ni ipi dalili ya kutaka msaada kutoka kwa watu wasioonekana na walioko kwenye ulimwengu mwingine usiouona?
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Mmoja katika watu wanaowasomea watu anasema kuwa huomba msaada kutoka kwa majini waislamu kwa madai ya kwamba ana fatwa kuhusu hilo. Je, hili linajuzu?
Jibu: Kuhusiana na kwamba ana fatwa juu ya hilo mimi sijui mwanachuoni yeyote miongoni mwa wanachuoni vigogo – wenye kujifanya ni wanachuoni ni wengi – ama wanachuoni vigogo hawajuzishi hilo. Haijuzu kutaka msaada kutoka kwa majini. Ni kipi kimechokujulisha kuwa ni waislamu? Hata kama tutachukulia kuwa ni waislamu, ni ipi dalili ya kutaka msaada kutoka kwa watu wasioonekana na walioko kwenye ulimwengu mwingine usiouona?
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-6.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/fatwa-inayojuzisha-kuwataka-msaada-majini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)