Swali: Kuna bwana mmoja amembaka mwanamke akamzini. Je, inafaa kwa mwanamke kusamehe haki yake na hivyo asitekelezewi adhabu ya kidini?
Jibu: Adhabu ni haki ya Allaah, si haki ya mwanamke huyo. Kwa hiyo ni lazima kumtekelezea nayo muda wa kuwa imethibiti.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
- Imechapishwa: 27/07/2024
Swali: Kuna bwana mmoja amembaka mwanamke akamzini. Je, inafaa kwa mwanamke kusamehe haki yake na hivyo asitekelezewi adhabu ya kidini?
Jibu: Adhabu ni haki ya Allaah, si haki ya mwanamke huyo. Kwa hiyo ni lazima kumtekelezea nayo muda wa kuwa imethibiti.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (46)
Imechapishwa: 27/07/2024
https://firqatunnajia.com/mwanamke-amebakwa-na-anataka-kumsemehe-mbakaji/