Swali: Mwanamke anapokufa bila kuwa na mume na akawa miongoni mwa watu wa Peponi. Je, ataolewa na mmoja katika waumini?
Jibu: Hili linarejea kwa Allaah. Kila mmoja atapata kile anachokitamani Peponi. Watapata yale wanayoyaomba; wanawake kwa wanamme. Mwanamme atapewa kile anachokiomba na mwanamke atapewa kile anachokiomba. Wote watakuwa katika neema.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22198/هل-من-ماتت-دون-زوج-تزوج-في-الجنة
- Imechapishwa: 04/11/2022
Swali: Mwanamke anapokufa bila kuwa na mume na akawa miongoni mwa watu wa Peponi. Je, ataolewa na mmoja katika waumini?
Jibu: Hili linarejea kwa Allaah. Kila mmoja atapata kile anachokitamani Peponi. Watapata yale wanayoyaomba; wanawake kwa wanamme. Mwanamme atapewa kile anachokiomba na mwanamke atapewa kile anachokiomba. Wote watakuwa katika neema.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22198/هل-من-ماتت-دون-زوج-تزوج-في-الجنة
Imechapishwa: 04/11/2022
https://firqatunnajia.com/mwanamke-aliyekufa-kabla-ya-kuolewa-peponi/